26 Mar 2026 8:02 pm | Citizen TV 541 views Duration: 1:18 Kinara wa DCP Rigathi Gachagua amewarai vijana wa kizazi cha Gen Z kujisajili kwa wingi kama wapiga kura kwenye uchaguzi wa mwaka ujao, na kuusaidia upinzani kumng’atua Rais William Ruto Mamlakani mwaka ujao.