Skip to main content
Skip to main content

Gachagua awarai Gen Z kujisajili kama wapiga kura

  • | Citizen TV
    541 views
    Duration: 1:18
    Kinara wa DCP Rigathi Gachagua amewarai vijana wa kizazi cha Gen Z kujisajili kwa wingi kama wapiga kura kwenye uchaguzi wa mwaka ujao, na kuusaidia upinzani kumng’atua Rais William Ruto Mamlakani mwaka ujao.