Skip to main content
Skip to main content

Gavana Barchok, gavana wa zamani wa Bungoma Wycliffe Wangamati wafika EACC kuhojiwa kuhusu ufisadi

  • | Citizen TV
    12,906 views
    Duration: 6:04
    Magavana waliohusishwa na ufisadi wamefika katika makao makuu ya tume ya kupambana na ufisadi kuhojiwa kuhusu ufujaji wa pesa katika kaunti zao. Gavana wa bomet hilary barchok na gavana wa zamani wa Bungoma wykliffe wangamati wamehusishwa na kupotea kwa mamiliaoni ya pesa katika kaunti. Seth olale anaungana nasi moja kwa moja kutoka makao makuu ya EACC.