Skip to main content
Skip to main content

Narok: Mwanafunzi achinjwa shuleni, polisi waanza uchunguzi

  • | Citizen TV
    28,187 views
    Duration: 2:12
    Maafisa wa polisi kaunti ya Narok wameanzisha uchunguzi kufuatia mauaji ya mwanafunzi wa darasa la nne ndani ya shule ya msingi ya Seventh Day Adventist aliyechinjwa kabla mwili wake kutupwa chooni. Maafisa wa elimu kaunti hiyo wakiagiza kufungwa kwa shule hiyo mara moja ili uchunguzi ufanyike.