Skip to main content
Skip to main content

Gavana Benjamin Cheboi afungua kituo cha uwezeshaji Kabarnet

  • | Citizen TV
    172 views
    Duration: 1:18
    Gavana wa Baringo, Benjamin Cheboi, amewahimiza vijana kukumbatia vyanzo mbadala vya riziki kama njia ya kukomesha hali ya ukosefu wa usalama wa mara kwa mara katika eneo hilo.