Skip to main content
Skip to main content

Gavana wa Embu Cecily Mbarire azindua ujenzi wa mradi wa maji Mbeere Kusini

  • | Citizen TV
    120 views
    Duration: 1:55
    Familia zaidi ya 366 katika maeneo kame yambeere kusini, aunti ya Embu County, zinatarajiwa kunufaika na upanuzi wa mradi wa maji ya kilimo wa rupingazi-Weru unaogharimu shilingi milioni 69.