Skip to main content
Skip to main content

Gavana wa Kaunti ya Murang’a Irungu Kang’ata amlaumu mdhibiti wa bajeti nchini

  • | Citizen TV
    665 views
    Duration: 2:13
    Gavana wa Kaunti ya Murang’a, Irungu Kang’ata, anamlaumu mdhibiti wa bajeti nchini kwa kuchelewesha uchunguzi wa stakabadhi muhimu, akisema hali hiyo inasababisha kuchelewa kwa utekelezaji wa miradi muhimu ya kaunti.