Skip to main content
Skip to main content

Gavana Wavinya Ndeti aahidi kuimarisha upatikanaji wa maji Machako

  • | Citizen TV
    203 views
    Duration: 1:12
    Gavana wa Kaunti ya Machakos, Wavinya Ndeti, amesisitiza tena dhamira yake ya kuongeza upatikanaji wa maji safi kupitia ushirikiano ulioimarishwa na Serikali ya Kitaifa pamoja na taasisi za sekta ya maji.