Skip to main content
Skip to main content

Ghasia zashuhudiwa wakati wa mchujo wa ODM eneo bunge la Kasipul

  • | KBC Video
    131 views
    Duration: 2:34
    Vurugu ilizuka wakati wa uteuzi wa chama cha ODM katika eneo bunge la Kasipul, kaunti ya Homa Bay baada ya makundi pinzani kutofautiana hali iliyosababisha uharibifu. Ghasia hizo zilisababisha kuharibiwa kwa magari kadhaa na hospitali moja katika eneo hilo inayomilikiwa na mgombeaji wa kiti cha bunge wa chama cha ODM, Newton Ogada. Taarifa kutoka makao makuu ya chama cha ODM imemlaumu Ogada na naibu gavana wa kaunti ya Homabay Oyugi Magwanga kwa kuhusika na ghasia hizo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive