Skip to main content
Skip to main content

Gicheru na Mwangi washinda mbio za baiskeli Sokoke, kukusanya fedha za uhifadhi wa msitu

  • | Citizen TV
    241 views
    Duration: 47s
    Awamu ya nane ya mashindano ya baiskeli ya Milimani kwenye msitu wa Sokoke imefikia tamati hii leo huko Watamu, Kaunti ya Kilifi, huku Ephantus Gicheru na Titus Mwangi wakimaliza kwenye nafasi ya kwanza pamoja.