3 May 2026 8:25 pm | Citizen TV 241 views Duration: 47s Awamu ya nane ya mashindano ya baiskeli ya Milimani kwenye msitu wa Sokoke imefikia tamati hii leo huko Watamu, Kaunti ya Kilifi, huku Ephantus Gicheru na Titus Mwangi wakimaliza kwenye nafasi ya kwanza pamoja.