Skip to main content
Skip to main content

Gor Mahia yaingia mkataba na Kansai Plascon Kenya kama mshirika rasmi wa rangi

  • | Citizen TV
    267 views
    Duration: 1:13
    Gor Mahia Fc inatazamiwa kupokea nyongeza ya kifedha kwa kuongezwa kwa Kansai Plascon Kenya kama mshirika wa klabu. Gor mahia na Kansai Plascon wametia saini mkataba wa mwaka mmoja na thamani ya udhamini ambayo haijafichuliwa kwa umma. Mkataba huo unaifanya Kansai Plascon Kenya kuwa mshirika rasmi wa rangi kwa timu ya Gor Mahia mwaka wa 2026