Skip to main content
Skip to main content

Hali ilivyo Gongo la mboto, na baadhi ya maeneo ya jiji la Dar es Salaam leo tarehe 9 Disemba

  • | BBC Swahili
    21,690 views
    Duration: 54s
    Hii ni taswira ya hali ilivyo katika eneo la Gongo la mboto, na baadhi ya maeneo ya jiji la Dar es Salaam leo tarehe 9 Disemba ambayo ni sikukuu ya Uhuru nchini Tanzania, na siku ambayo pia yamepangwa kufanyika maandamano ya kuipinga serikali. Serikali imepiga marufuku maandamano hayo ikiyaita ni batili na kuwarai raia wabaki nyumbani na watoke tu kama kuna ulazima. - - - #bbcswahili #tanzaniatiktok #foryou #maandamano #demokra