Skip to main content
Skip to main content

Hali ya HIV, mimba za utotoni na dhuluma za kijinsia yazua hofu Kenya kabla ya siku ya ukimwi

  • | Citizen TV
    1,349 views
    Duration: 3:03
    Kenya imeendelea kukumbwa na hatari ya maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi, mimba za utotoni na hata dhuluma za kijinsia. Ulimwengu unapojiandaa kuadhimisha siku ya ukimwi duniani hapo kesho, Takwimu zinaonyesha kuwa wasichana wengi walipata mimba za mapema huku vijana pia bado wakiwa wamebeba mzigo mkubwa wa maambukizi mapya ya HIV mwaka jana.