- 327 viewsDuration: 2:53Changamoto imetolewa kwa jamii ya wafugaji ya wasamburu kukomesha tohara ya mtoto wa kike,na badala yake kugeukia mbinu nyengine isiyokuwa na madhara. Haya yamejiri wakati wa kufuzu kwa wasichana waliopokezwa mafunzo mbalimbali ya ujuzi ili kuwalinda dhidi ya makali ya ukeketaji. Mwanahabari wetu Bonface Barasa anaarifu zaidi.