Skip to main content
Skip to main content

Harambee Stars walazimishwa na Estonia, wanajiandaa na Grenada kwa fainali ya tatu

  • | Citizen TV
    182 views
    Duration: 1:05
    Timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars ililazwa na Estonia kwa matuta matano kwa manne baada ya sare ya bao moja nchini Rwanda. Stars watachuana na Grenada kuwania mshindi wa tatu.