Skip to main content
Skip to main content

Hoteli ya Ritz-Carlton kwenye Kivuko cha Mara yafunguliwa kesi baada ya mwanaharakati kuishtaki

  • | Citizen TV
    6,673 views
    Duration: 4:50
    Kwa takriban miezi mitano sasa, taarifa kuhusu hoteli iliyodaiwa kujengwa kwenye kivuko cha mara kimeibua mdahalo mtandaoni. Hoteli hiyo ya ritz carlton sasa ina kibarua cha kujitetea mahakamani baada ya mwanaharakati wa mazingira joel meitemei kuishtaki na kutoa ombi kwa mahakama kuamuru kuwa hoteli hiyo iondolewe