Skip to main content
Skip to main content

Huduma za matibabu zaathirika kaunti ya Lamu kutokana na mgomo wa wauguzi

  • | Citizen TV
    239 views
    Duration: 1:50
    Huduma za afya katika Kaunti ya Lamu zimeathiriwa pakubwa kutokana na mgomo wa wauguzi. Wauguzi hao wanadai serikali ya kaunti ya Lamu imeshindwa kutekeleza makubaliano yaliyoafikiwa mwaka jana. Miongoni mwa madai yao makubwa ni malipo ya mishahara ya miezi miwili ya mwaka 2020.