Skip to main content
Skip to main content

Humphrey Polepole anayeripotiwa kutekwa Tanzania ni nani?

  • | BBC Swahili
    13,152 views
    Duration: 3:11
    Alianza kujulikana zaidi kwa umma mwaka 2012 alipoteuliwa na Rais wa awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete kuwa mjumbe wa Tume ya Katiba mpya, iliyoongozwa na Waziri Mkuu mstaafu, Joseph Warioba. Je baada ya hapo safari yake iliendeleaje? Tazama #bbcswahili #tanzania #hpolepole Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw