Skip to main content
Skip to main content

Hussein Ali Mwinyi ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais Zanzibar #uchaguzi2025 #zanzibar

  • | BBC Swahili
    20,292 views
    Duration: 32s
    Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemtangaza Dk Hussein Ali Mwinyi kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais katika visiwa hivyo. Dk.Mwinyi aligombea kwa tiketi ya chama tawala cha CCM Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw