Skip to main content
Skip to main content

Idadi ya waliofariki kwenye mafuriko imefika 43

  • | Citizen TV
    10,222 views
    Duration: 2:53
    Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko makubwa yaliyoshuhudiwa nchini Ijumaa jioni sasa imefikia 43. Shirika la msalaba mwekundu likiripoti idadi hii huku mvua kubwa ikiendelea kusababisha uharibifu katika maeneo kadhaa nchini. Katika baadhi ya maeneo ya hapa jijini Nairobi, nyumba zimeharibiwa na miundombinu muhimu kuharibika, huku mamia ya familia zikiwachwa bila makao.