Skip to main content
Skip to main content

IG, Mwanasheria Mkuu waitwa mahakamani kuhusu kutofuata amri za mahakama

  • | Citizen TV
    651 views
    Duration: 2:29
    Inspekta Jenerali wa polisi, mwanasheria mkuu na idara ya huduma za polisi wametakiwa kufika mahakamani kueleza sababu za ni kwa nini wasichukuliwe hatua za kinidhamu kwa kukosa kufuata amri za mahakama. Jaji Alfred Mabeya wa mahakama ya Kisumu akisema kuwa ukaidi wa asasi hizo tatu huenda ukachangia katika kudorora kwa vipengee muhimu vya kikatiba ikiwemo haki ya wakenya kuandamana