- 439 viewsDuration: 1:56Mamlaka ya kuangazia utendakazi wa polisi IPOA imesema imepokea zaidi ya kesi elfu nne ambazo zinahusisha polisi kuwadhulumu wananchi eneo la Pwani .Wakizungumza mjini Voi kaunti ya Taita Taveta wakati wa kuhamasisha wakazi kuhusu umuhimu wa kuripoti visa vya ukiukaji wa haki za kibinadam, msimamizi wa IPOA eneo la pwani Hussen Adan anasema kesi 19 tayari ziko mahakamani.