- 2,768 viewsDuration: 37sMwanamitindo wa Urusi, Anastasia Kostromitina @nas__kos anavuma mtandaoni baada ya kuchapisha video za utani zinazoonyesha jinsi anavyofanana na nyota wa soka wa Norway, Erling Haaland. Ingawa mwanzoni hakufurahishwa na watu kumlinganisha na Haaland, sasa amekubali hali hiyo kwa mzaha na ucheshi, jambo ambalo limevutia kampuni kubwa kadhaa zinazotaka kufanya naye kazi. Akiwa shabiki mpya wa soka, Anastasia anatumaini kukutana na Haaland siku moja, na kwa sasa anaishangilia Norway katika Kombe la Dunia. Je wanafanana kweli? #bbcswahili #kombeladunia #haalaand Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw