Skip to main content
Skip to main content

Joho aongoza maadhimisho ya kumbukumbu ya Raila Odinga Pwani

  • | Citizen TV
    4,310 views
    Duration: 3:25
    Huko Pwani, viongozi wa ODM waliandaa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa kwa marehemu Raila Odinga. Wakiongozwa na waziri Ali Hassan Joho, viongozi hao wamemtaja marehemu Raila kama nguzo kuu ya demokrasia na mfano wa kujitolea