Skip to main content
Skip to main content

Joshua Muimi akamatwa jana akijifanya afisa wa KDF

  • | Citizen TV
    1,393 views
    Mkenya mmoja amefikishwa mahakamani hii leo kukabiliwa na mashtaka ya kujifanya afisa wa jeshi. Joshua Mutui Muimi amefikishwa kortini baada ya kukamatwa akijifanya kuwa afisa wa KDF na kuendesha shughuli ya usajili wa makurutu wa jeshi