- 221 viewsDuration: 3:02Juhudi za wafugaji katika kaunti ya Samburu za kutunza msitu wa Kirisia kupitia shirika la kirisia CFA, zaanza kuzaa matunda, wafugaji wasitisha ufugaji mifugo na baadhi ya wafugaji kugeukia ufugaji nyuki na kuasi uchomaji makaa. Hatua hii yaonekana kuhifadhi mazingira na kuimarsha maeneo ambayo msitu ulikuwa umerahibiwa.