- 806 viewsDuration: 2:25Timu ya taifa ya kandanda ya wasichana wa chini ya miaka 17, Junior Starlets, imeanza maandalizi kuelekea Kombe la Dunia litakalofanyika nchini Morocco mwezi Oktoba. Kikosi hicho kitashiriki mashindano hayo kwa mara ya pili. Luqman Mahmoud na taarifa kamili.