Skip to main content
Skip to main content

Kalonzo ailaumu serikali kwa kutoa ahadi za uongo za Kenya kuwa taifa lililostawi

  • | Citizen TV
    1,409 views
    Duration: 58s
    Kinara wa Wiper, Kalonzo Musyoka, ameilaumu serikali kwa kuwapa Wakenya ahadi za uongo, akisema ahadi za Kenya kuwa taifa lililostawi karibuni ni ndoto tu. Akizungumza wakati wa ibada eneo la South B hapa Nairobi, Kalonzo akisema pesa anazopanga kutumia Rais William Ruto kwa mpango huo zinatumika kinyume na katiba