Skip to main content
Skip to main content

Kamati ya Bunge yaibua maswali kuhusu bilioni 6.3 za e-Citizen

  • | Citizen TV
    1,066 views
    Duration: 3:04
    Wanachama wa kamati ya uhasibu katika Bunge la Kitaifa wameibua maswali kuhusu jinsi shilingi bilioni 6.3 zilivyohamishwa kutoka kwa akaunti ya serikali hadi akaunti ya kibinafsi. Kamati ikiibua maswali kuhusu uaminifu wa mfumo huo wa kulipia huduma za serikali, e-Citizen, kama anavyoarifu Emmanuel Too, Katibu wa Hazina ya Kitaifa, Dkt. Chris Kiptoo, aliwaambia wabunge hao kwamba fedha hizo hazikupotea.