- 309 views
Kamati ya bunge ya ulinzi na maswala ya kigeni imekataa kuidhinisha uteuzi wa Charles Githinji Keiru kama balozi wa Kenya katika Jamhuri ya DRC baada ya kukamilisha shughuli ya kuwahoji walioteuliwa na Rais kuwakilisha kenya katika mataifa mbali mbali. Kamati hiyo inayoongozwa na mbunge Nelson Koech iliwaidhinisha wengine wote 25 waliofika mbele yake. Hata hivyo ilikataa kupitisha jina la Keiru kwa kukosa kuwa na taarifa yoyote kuhusu taifa ambalo anapasa kuhudumu. Katika ripoti ya kurasa 89 tume hiyo pia iliwaidhinisha wengine watatu licha ya maswali kuibuka katika kikao cha kuwahoji.
Kamati ya maswala ya kigeni imekataa kumuidhinisha Keiru
- 30 Apr 2024 - The International Committee of the Red Cross (ICRC) has stabilised its finances after drastic crisis cuts, its new director said in comments published Monday.
- 30 Apr 2024 - Death and destruction in Mai Mahiu, Naivasha Nakuru County are the latest effects of the ongoing heavy rains.
- 30 Apr 2024 - Local official Olga Bobadilla told RPP radio the incident late Sunday happened on a potholed dirt road in the Andean region of Cajamarca, "and the bus fell into an abyss" some 200 meters (some 650 feet) deep.
- 30 Apr 2024 - The situation at the Kisumu bus terminus on Monday morning was dire, with tens of students with packed bags remaining stranded as their journey to school for the second term was cut short.
- 30 Apr 2024 - Heavy floods persistently ravage properties while also causing damage to roads and infrastructure, disrupting transportation services in numerous counties.
- 30 Apr 2024 - Beyoncé and Jay-Z’s daughter Blue Ivy Carter has joined the voice cast of The Lion King prequel Mufasa: The Lion King. Blue Ivy, 12, voices Kiara, daughter of King Simba and Queen Nala, played by her mother. Beyoncé is reprising the role from Jon…
- 30 Apr 2024 - Beyoncé and Jay-Z's daughter Blue Ivy Carter has joined the voice cast of The Lion King prequel Mufasa: The Lion King. Blue Ivy, 12, voices Kiara, daughter of King Simba and Queen Nala, played by her mother. Beyoncé is reprising the role from Jon…
- 30 Apr 2024 - Frustration, chaos after night school reopening change
- 30 Apr 2024 - At least 48 killed after dam burst its banks
- 30 Apr 2024 - Flood of death