Skip to main content
Skip to main content

Kamati ya utekelezaji wa ripoti ya maridhiano ya NADCO yazuru Bungoma

  • | Citizen TV
    350 views
    Duration: 1:57
    Kamati inayosimamia utekelezaji wa ripoti ya Kamati ya Kitaifa ya Maridhiano (NADCO) imefika kaunti ya Bungoma kutathmini iwapo mambo muhimu katika ripoti hiyo yanatekelezwa . Naibu gavana wa kaunti ya Bungoma Jenipher Mbatiany ameitaka serikali kuu kukamilisha miradi ambayo imeanzisha kabla ya kuzindua miradi zaidi. Aidha, kamati hiyo imezitaka kaunti zingine kuiga mfano wa ushirikiano mwema uliopo baina ya serikali na bunge la Kaunti ya Bungoma jambo ambalo ni gumu katika kaunti nyingi.