Skip to main content
Skip to main content

Kamishna Nyamira Shufaa Omar amewashauri wazazi kuwa makini katika majukumu yao ya ulezi

  • | Citizen TV
    139 views
    Duration: 1:07
    Kamishna wa kaunti ya Nyamira Shufaa Omar amewashauri wazazi katika kaunti hiyo kuwa makini katika majukumu yao ya ulezi, akiwataka wawe waaangalifu na matumizi ya simu kwa wana wao.