Skip to main content
Skip to main content

Kanisa la Legio Maria Makongeni laomba Ruto kuingilia kati kabla ya ubomoaji

  • | Citizen TV
    1,387 views
    Duration: 2:07
    Huku ubomoaji wa eneo la Makongeni ukitarajiwa kufikia sehemu za maabadi, imekuwa hafla ya mwisho kwa kanisa la Legio Maria ambalo limemiliki kanisa kwa zaidi ya miaka 40 eneo hilo. Kanisa hilo sasa likimtaka rais William Ruto kuingilia kati na kusitisha ubomoaji wa kanisa wanalolesa wameekeza pesa nyingi