5 May 2026 1:45 pm | Citizen TV 71 views Katibu wa Elimu ya Msingi, Julius Bitok, anafanya kikao na wadau wa elimu katika kaunti ya Nakuru kujadili hali ya elimu katika Kaunti hiyo na kuangazia changamoto pamoja na fursa zilizopo katika maendeleo ya sekta hii muhimu.