Skip to main content
Skip to main content

Kaunti Nyamira kwa ushirikiano na benki moja nchini, imeanzisha mpango wa ufadhili wa wanafunzi

  • | Citizen TV
    220 views
    Duration: 2:28
    Serikali ya kaunti ya Nyamira kwa ushirikiano na benki moja nchini, imeanzisha mpango wa ufadhili wa wanafunzi wa vyuo vya kiufundi kupata mafundisho katika nyanja mbalimbali ili kuwawezesha kujiajiri na kubuni nafasi za ajira.