Skip to main content
Skip to main content

KCB FC waibuka kileleni mwa ligi baada ya ushindi wa 4-2 dhidi ya APS Bomet

  • | Citizen TV
    297 views
    Duration: 1:09
    KCB Fc wamerejea kileleni mwa ligi kuu ya Kenya baada ya kutoka nyuma mara mbili na kuwafunga APS Bomet kwa mabao 4-2 katika uwanja wa Kasarani. Posta Rangers walijiunga na KCB kileleni wakiwa na pointi 21 baada ya sare tasa dhidi ya Bandari Fc