Skip to main content
Skip to main content

Kenya kushinda kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Dunia ya Riadha

  • | Citizen TV
    718 views
    Duration: 2:03
    Wakenya kutoka matabaka mbalimbali wamepokea kwa msisimko mkubwa habari za Kenya kushinda zabuni ya kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Dunia ya Riadha, huku mashindano hayo yakitarajiwa kufanyika barani Afrika kwa mara ya kwanza.