- 5,365 viewsDuration: 3:26Kenya kwa mara nyingine itaweka historia kwa kuwa taifa la kwanza barani Afrika kuandaa Mashindano ya Riadha Duniani mwaka 2029. Beijing, China, itakuwa mwenyeji wa mashindano ya mwaka 2027 kabla ya kukabidhi Nairobi kwa makala ya 2029. Ombi la Kenya limekubaliwa na Shirikisho la Riadha Duniani, huku maandalizi yakitarajiwa kuanza mara moja.