- 796 viewsDuration: 2:57Wanasiasa wa Kenya Kwanza sasa wametishia kuwasilisha hoja bungeni ya kusimamisha mara moja malipo ya kustaafu ya Rais mstaafu Uhuru Kenyatta iwapo ataendelea kujihusisha na siasa. Wanasiasa hawa wakimtaka Uhuru kuendelea kustaafu kwa amani na kutojihusisha na siasa. Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen pia akiwa afisa wa punde zaidi serikalini kukosoa matamshi ya Ijumaa ya Rais Mstaafu.