Skip to main content
Skip to main content

Kenya Kwanza yasema serikali inadhibiti bei ya mafuta, yatetea umoja wa UDA na ODM

  • | Citizen TV
    3,436 views
    Duration: 3:39
    Baadhi ya wanasiasa wa Kenya Kwanza, wakiongozwa na naibu rais Kithure Kindiki, wamesuta upinzani unaoongozwa na kinara wa DCP Rigathi Gachagua pamoja na mrengo wa Linda Wananchi, na kuwataka kuacha kumhusisha rais William Ruto na kupanda kwa bei ya mafuta. Serikali imesema inafanya kila iwezalo kudhibiti bei ya bidhaa hiyo muhimu. Aidha, viongozi hao wanasisitiza kuwa muungano kati ya UDA na ODM ungali imara.