- 2,532 viewsDuration: 2:52Serikali ya Kenya inatafuta msaada wa dharura wa kifedha kutoka Benki ya Dunia ili kukabiliana na gharama ya juu ya mafuta inayotishia kuathiri pakubwa uchumi wa nchi. Haya yanajiri huku Rais William Ruto akitia saini mswada wa ushuru wa VAT kuwa sheria na kupunguza ushuru unaotozwa petroli. Serikali inasema bado inatafuta njia zaidi za kukabiliana na bei ya juu ya mafuta.