- 72,120 viewsDuration: 2:51Tangu mwaka 1945, viongozi na watu mashuhuri wa kisiasa wamefikishwa mbele ya mahakama na mahakama maalumu za ndani na za kimataifa katika nchi mbalimbali duniani. Baadhi yao wamehukumiwa, huku wengine wakifariki kabla kesi zao hazijakamilika. Hawa ni Wanasiasa wa 5 Afrika ambao kesi zao zilizochukua miaka mingi kuamuliwa. @mariammjahid anaelezea #bbcswahili #siasaafrika #uhaini Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw