Skip to main content
Skip to main content

Kesi ya mzozo wa ardhi ya msikiti wa Pumwani Riyadha itaendelea tena tarehe 9 Machi 2026

  • | Citizen TV
    337 views
    Duration: 38s
    Mahakama ya Mazingira na Ardhi jijini Nairobi imekataa maombi ya kuzuia Wadhamini wa Msikiti wa Pumwani Riyadha kutumia kipande cha ardhi chenye utata.