Skip to main content
Skip to main content

Kiambu yakanusha madai ya vifo vya kina mama na watoto wachanga kutokana mgomo wa madaktari

  • | Citizen TV
    2,975 views
    Duration: 3:27
    Kaunti ya Kiambu imekana madai kwamba kina mama na watoto wachanga wanapoteza maisha kutokana na mgomo wa madaktari unaoendelea. Kauli hii ya kaunti ya Kiambu ikijiri huku baadhi ya kina mama waliodai kuwapoteza watoto wakizungumzia masaibu yao