Skip to main content
Skip to main content

KICD yawahakikishia wazazi kuwa uhaba wa vitabu vya sekondari utatatuliwa hivi karibunikisunzi cha

  • | Citizen TV
    609 views
    Duration: 2:21
    Taasisi ya mtaala nchini imeondolea mbali hofu kuhusu uhaba wa vitabu kabla ya mpito wa wanafunzi wanaojiunga na sekondari ya Juu. Taasisi ya KICD ikikiri kuwa vitabu bado havijachapishwa kutokana na madeni ya wachapishaji vitabu, imeshikilia kuwa serikali iko kwenye mipangilio ya kutoa fedha hizo