14 Jul 2026 10:23 am | Citizen TV 557 views Duration: 1:37 Kikundi cha kina mama wanaojihusisha na biashara ya miraa waandamana katika mji wa Marsabit wakilalamikia kile wadaicho kuwa ni kutotekelezwa kwa ahadi walizopewa na Serikali ya Kaunti ya Marsabit.