- 256 viewsJamii za wafugaji katika maeneo kame nchini zinaendelea kukabiliana na athari za hali ya anga zinazotishia maisha ya mifugo na mapato yao. Katika kaunti ya Kajiado, ubunifu unalenga kuboresha lishe na kusaidia jamii kulinda mifugo wao na riziki zao. Kwenye makala ya wiki hii ya Kilimo Biashara,