- 266 views
Hatua ya kuwashirikisha kina mama katika vita dhidi ya ugaidi katika kaunti ya Garissa imetajwa kama njia bora zaidi ya kupambana na tatizo la kiusalama kwa kutumia vikundi vyao. Wakizungumza wakati wa kuzindua mpango utakaotumika na kina mama kutoka kaunti ndogo ya Dadaab kukabiliana na kero ya ugaidi, wakuu wa usalama na vikundi vya kijamii wamesema kina mama wana uwezo wa kutambua vikundi vinavyosajili vijana kwenye mitandao ya ugaidi kwa urahisi kutokana na kuwepo kwao vijijini kila mara. Aidha, serikali kwa upande wake imehaidi kuunga mkono juhudi hizo za kina mama hao kuhakikisha kuwa hali ya usalama imerejea katika maeneo ya mipakani.
Kina mama washirikishwa katika vita dhidi ya ugaidi katika kaunti ya Garissa
- 9 May 2025 - Confusion abounded after conflicting reports regarding the operational status of the Music Copyright Society of Kenya (MCSK) CEO Ezekiel Mutua were released to the public.
- 9 May 2025 - Church bells echoed out as Catholics congregated in the Peruvian capital on Thursday to celebrate the election of American-born Pope Leo XIV, who left his mark after years of service in the Andean country.
- 9 May 2025 - Kenya and the United Arab Emirates (UAE) have signed seven agreements aimed at deepening bilateral cooperation between the two nations.
- » Blow to 4 suspects in murder of Kasipul MP Charles Were as court dismisses jurisdiction application- Blow to 4 suspects in murder of Kasipul MP Charles Were as court dismisses jurisdiction application
- 9 May 2025 - The nine family members who perished in a suspected arson attack in Ugunja, Siaya County will be laid to rest today (Friday).
- 9 May 2025 - The nine family members who perished in a suspected arson attack in Ugunja, Migori County will be laid to rest today (Friday).
- 9 May 2025 - Pope Leo XIV will celebrate mass Friday, the day after becoming the first US head of the Catholic Church, with the world watching for signs of what kind of pope he will be.
- 9 May 2025 - Residents of Nyangores in Chepalungu Constituency, Bomet County, are asking the county government to urgently repair a bridge that continues to endanger the lives of students and pupils.
- » 'Blood may overflow and stain my skirt': Schoolgirl's struggle with period poverty during holidays9 May 2025 - Period poverty forces rural Kenyan girls to miss school, risking health, dignity and academic success.
- 9 May 2025 - Kenya and the government of the United Arab Emirates (UAE) have signed seven Memoranda of Understanding (MoU) to enhance economic collaboration between the two countries. These agreements cover cooperation in military affairs, economic development,…