- 266 views
Hatua ya kuwashirikisha kina mama katika vita dhidi ya ugaidi katika kaunti ya Garissa imetajwa kama njia bora zaidi ya kupambana na tatizo la kiusalama kwa kutumia vikundi vyao. Wakizungumza wakati wa kuzindua mpango utakaotumika na kina mama kutoka kaunti ndogo ya Dadaab kukabiliana na kero ya ugaidi, wakuu wa usalama na vikundi vya kijamii wamesema kina mama wana uwezo wa kutambua vikundi vinavyosajili vijana kwenye mitandao ya ugaidi kwa urahisi kutokana na kuwepo kwao vijijini kila mara. Aidha, serikali kwa upande wake imehaidi kuunga mkono juhudi hizo za kina mama hao kuhakikisha kuwa hali ya usalama imerejea katika maeneo ya mipakani.
Kina mama washirikishwa katika vita dhidi ya ugaidi katika kaunti ya Garissa
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- - NTV LIVE: April 2024 ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 24 Apr 2024 - One person was on Tuesday night apprehended following a police chase that led to the seizure of suspected marijuana valued at Ksh.37 million.
- 24 Apr 2024 - Detectives from the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) have arrested former Treasury Cabinet Secretary Ukur Yatani and Marsabit Governor Mohamud Mohamed Ali.
- 24 Apr 2024 - The Kenya Railways Corporation (KRC) on Wednesday announced the suspension of commuter train services over ongoing heavy rainfall.
- 24 Apr 2024 - Heavy rains that have continued to pound Nairobi and its environs have left a distasteful aftermath as homes and highways have been submerged for days with the Tuesday night rains exacerbating the situation.
- 24 Apr 2024 - A total of 118 people were the victim of extrajudicial killings by Kenyan police last year, local and international rights groups said in a report published on Wednesday, decrying the "impunity" still enjoyed by the security forces.
- 24 Apr 2024 - Nearly six residents of Mathare North, Nairobi County have been reported missing as houses have been marooned by floods as a result of heavy rains.
- 24 Apr 2024 - The government has begun compensating farmers who bought substandard fertiliser under the subsidy program.
- 24 Apr 2024 - Over 600 families have been displaced by floods in Kirinyaga County as heavy rains continue to pound various parts of the country.
- 24 Apr 2024 - Three years ago, Derrick Evans was taking part in the January 6, 2021, assault on the US Capitol, joining hundreds of other Donald Trump supporters who refused to accept his defeat in the presidential election.
- 24 Apr 2024 - He indicated that the project will be extended to Eldoret.