Skip to main content
Skip to main content

Kipute cha Jomvu chakamilika ambapo mechi iliandaliwa uwanja wa Jomvu Mikanjuni

  • | Citizen TV
    573 views
    Duration: 2:06
    Timu ya Inter Milan kutoka Jomvu ilibuka mshindi kwenye michuano ya finali ya Kombe la Seth Opolo baada ya kuibwaga Boda Boda Fc mabao 2-0, kwenye mechi iliyoandaliwa katika uwanja wa Jomvu Mikanjuni.