"Kindiki na Gachagua si sawa kisiasa. Mmoja anaungwa mkono na serikali ilhali mwingine aliondolewa madarakani. Kindiki anaonekana kuwa mtulivu na huzingatia siasa za uwezeshaji wa kiuchumi, ilhali Gachagua ni mkali na huendesha siasa za msimamo thabiti.
Kwa mara ya kwanza katika historia, eneo la Mlima Kenya linaonekana kuwekwa katika hali ngumu ya kufanya uamuzi, ambapo linaweza kugawanyika katika pande mbili. Huu ni wakati muhimu kwa wakazi wa eneo hilo kufanya maamuzi yatakayochangia mustakabali wao kwa miaka ijayo." - Mkazi, Kisumu
#TV47Matukio
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
*About TV47*
'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES.
__
For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047.
__
Connect with us:
Website: https://www.tv47.digital/
Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE
Twitter: https://twitter.com/tv47news
Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/
TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke
Telegram: https://t.me/tv47_ke
WhatsApp: 0797 047 047
__