- 381 viewsDuration: 1:50Wafanyabiashara na wakazi wa kongowea Mombasa watanufaika na huduma za kisheria na kuweza kuripoti visa vya dhulma za Kijinsia baada ya kuziduliwa kwa kituo kinacholenga kutoa msaada wa kisheria kwa wafanyabiashara na wakazi kupitia mahakama ya kushughulikia kesi ndogondogo.